Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:51 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

51 Je! sharia yetu humhukumti mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua atendavyo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

51 “Je, sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

51 “Je, sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

51 “Je, sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

51 “Je, sheria zetu zinaturuhusu kumhukumu mtu kabla ya kumsikiliza na kufahamu alilotenda?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

51 “Je, sheria zetu zinaturuhusu kumhukumu mtu kabla ya kumsikiliza na kufahamu alilotenda?”

Tazama sura Nakili




Yohana 7:51
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Paolo akamwambia, Mungu atakupiga wewe, ukuta uliopakwa chokaa. Wewe umeketi kunihukumu sawasawa na sharia, nawe unaamuru nipigwe kinyume cha sharia?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo