Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:49 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

49 Lakini makutano hayo wasioifahamu torati wamelaaniwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Lakini umati huu haujui sheria ya Mose; umelaaniwa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Lakini umati huu haujui sheria ya Mose; umelaaniwa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Lakini umati huu haujui sheria ya Mose; umelaaniwa!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Lakini umati huu wa watu wasiojua Torati ya Musa, wamelaaniwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Lakini huu umati wa watu wasiojua Torati ya Musa, wamelaaniwa.”

Tazama sura Nakili




Yohana 7:49
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani katika wakubwa amwammiye, au katika Mafarisayo?


Akawaambia Nikodemo (ni yule aliyemwendea usiku, maana ni mmojawapo wao),


Wakajibu, wakamwambia, Wewe ulizaliwa katika dhambi tupu, nawe unatufuudisha sisi? Wakamtoa nje.


Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa pamoja nae wakasikia haya, wakamwambia, Je! sisi nasi tu vipofu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo