Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:48 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

48 Ni nani katika wakubwa amwammiye, au katika Mafarisayo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Je, mmekwisha kumwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Je, mmekwisha kumwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Je, mmekwisha kumwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Je, kuna kiongozi yeyote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Je, kuna kiongozi yeyote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini?

Tazama sura Nakili




Yohana 7:48
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati ule Yesu akajibu akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na inchi, kwa kuwa uliwaficha haya wenye hekima na busara, ukawafunulia wadogo:


Pilato akawaita pamoja makuhani wakuu, na wakubwa, na watu, akawaambia,


Walakini hatta katika wakubwa wengi walimwamini; lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakumwungama, wasije wakalolewa katika masunagogi.


PALIKUWA na mtu mmoja wa Mafarisayo, jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi;


Na kumbe! ananena waziwazi wala hawamwambii neno? Yumkini wakuhwa wanajua kwa hakika ya kuwa huyu ni Kristo!


Lakini makutano hayo wasioifahamu torati wamelaaniwa.


Akawaambia Nikodemo (ni yule aliyemwendea usiku, maana ni mmojawapo wao),


Nenu la Mungu likaenea: hesahu ya wanafunzi ikazidi sana katika Yerusalemi: jamii kubwa la makuhani wakaitii Imani.


Yu wapi mwenye hekima? Yu wapi mwandishi? Yu wapi mleta hoja wa dunia bii? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia liii kuwa upumbavu?


ambayo wenye kutawala dunia hii hawakuijua hatta mmoja; maana kama wangaliijua, wasingalimsulibisha Bwana wa utukufu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo