Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:45 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

45 Bassi wale watumishi wakawaendea makuhani wakuu na Mafarisayo, nao wakawaambia, Mbona hamkumleta?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

45 Kisha wale walinzi wakarudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo; nao wakawauliza, “Kwa nini hamkumleta?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

45 Kisha wale walinzi wakarudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo; nao wakawauliza, “Kwa nini hamkumleta?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

45 Kisha wale walinzi wakarudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo; nao wakawauliza, “Kwa nini hamkumleta?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

45 Hatimaye wale walinzi wa Hekalu wakarudi kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo waliokuwa wamewatuma ili kumkamata Isa, wakaulizwa, “Mbona hamkumkamata?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

45 Hatimaye wale walinzi wa Hekalu wakarudi kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo waliokuwa wamewatuma ili kumkamata Isa, wakaulizwa, “Mbona hamkumkamata?”

Tazama sura Nakili




Yohana 7:45
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na Petro akamfuata kwa mbali hatta behewa ya kuhani mkuu, akaingia ndani, akaketi pamoja na watumishi, auone mwisho.


Lakini baadhi yao wakaenda zao kwa Mafarisayo, wakawaambia aliyoyafanya Yesu.


Bassi makuhani wakuu na Mafarisayo wakakusanya baraza, wakanena, Tunafanya nini? Maana mtu huyu afanya ishara nyingi.


Mafarisayo wakawasikia makutano wakinungʼunika hivi kwa khabari zake: bassi Mafarisayo na makuhani wakuu wakatuma watumishi illi wamkamate.


Wazazi wake waliyasema haya kwa sababu waliwaogopa Wayahudi; kwa maana Wayahudi wamekwisha kuwafikana kwamba mtu akimwungama kuwa Kristo, ataharamishwa sunagogi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo