Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:44 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

44 Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hapana mtu aliyenyosha mkono wake illi kumshika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

44 Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

44 Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

44 Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

44 Baadhi yao walitaka kumkamata, lakini hakuna aliyethubutu kumgusa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

44 Baadhi yao walitaka kumkamata, lakini hakuna aliyethubutu kumgusa.

Tazama sura Nakili




Yohana 7:44
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Mafarisayo wakatoka wakamfanyia shauri la kumwangamiza.


Bassi wakatafuta kumkamata: lakini hapana aliyenyosha mkono wake illi kumshika kwa sababu saa yake ilikuwa haijaja bado.


Maneno haya aliyasema Yesu akifundisha kakika hekalu, katika chumba cha hazina; wala hapana mtu aliyemkamata, kwa kuwa saa yake ilikuwa haijaja bado.


kwa kuwa mimi ni pamoja nawe, wala hapana mtu atakaekushambulia illi kukudhuru; kwa matina mimi nina watu wengi katika mji huu.


Usiku ule Bwana akasimama karibu nae, akasema, Uwe na moyo mkuu, Paolo; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia khabari zangu Yerusalemi, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo