Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:41 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

41 Wengine walinena, Je! Kristo atoka Galilaya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Wengine wakasema, “Huyu ndiye Kristo!” Lakini wengine walisema, “Je, yawezekana Kristo akatoka Galilaya?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Wengine wakasema, “Huyu ndiye Kristo!” Lakini wengine walisema, “Je, yawezekana Kristo akatoka Galilaya?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Wengine wakasema, “Huyu ndiye Kristo!” Lakini wengine walisema, “Je, yawezekana Kristo akatoka Galilaya?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 Wengine wakasema, “Huyu ndiye Al-Masihi!” Lakini wengine wakauliza, “Je, Al-Masihi kwao ni Galilaya?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 Wengine wakasema, “Huyu ndiye Al-Masihi!” Lakini wengine wakauliza, “Je, Al-Masihi kwao ni Galilaya?

Tazama sura Nakili




Yohana 7:41
11 Marejeleo ya Msalaba  

Huyu akamwona kwanza Simon, ndugu yake mwenyewe, akamwambia, Tumemwona Masihi, (tafsiri yake Kristo).


Nathanaeli akamwambia, Chaweza kitu chema kutoka Nazareti? Filipo akamwambia, Njoo uone.


Nathanaeli akajibu, akamwambia, Rabbi, wewe u Mwana wa Mungu, ndiwe mfalme wa Israeli.


Yule mwanamke akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi (aitwae Kristo). Atakapokuja yeye, atatufunulia yote.


Njoni, nitazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! haimkini huyu kuwa ndiye Kristo?


Wakamwambia yule mwanamke, Sasa tunaamini, wala si kwa sababu ya maneno yako; maana tumesikia wenyewe, tena twajua ya kuwa hakika yake huyu ni Mwokozi wa ulimwengu.


Nasi tumeamini, tena tumejua ya kuwa wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hayi.


Lakini huyu twamjua atokako, bali Masihi atakapokuja, hakuna ajuae atokako.


Watu wengi katika makutano wakamwamini: wakasema, Atakapokuja Kristo, je! atafanya ishara nyingi zaidi kuliko hizi alizozifanya huyu?


Wakajibu, wakamwambia, Wewe nawe umetoka Galilaya? Tafuta, ukaone ya kuwa kutoka Galilaya hakutokea nabii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo