Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:40 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

40 Bassi watu wengi katika makutano waliposikia neno lile, walinena, Huyu hakika yake ndiye nabii yule.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, “Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, “Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, “Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Waliposikia maneno hayo, baadhi ya watu miongoni mwa umati ule wakasema, “Hakika huyu ndiye yule Nabii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Waliposikia maneno hayo, baadhi ya watu miongoni mwa ule umati wakasema, “Hakika huyu ndiye yule Nabii.”

Tazama sura Nakili




Yohana 7:40
6 Marejeleo ya Msalaba  

Makutano wakanena, Huyu ni Yesu, yule nabii wa Nazareti ya Galilaya.


Wakamwuliza, Nini bassi? U Eliya wewe? Akanena, Mimi siye. Wewe u nabii yule? Akajibu, La.


Yule mwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u nabii.


Bassi watu wale, walipoiona ishara aliyoifanya Yesu, wakasema, Huyu hakika ni nabii yule ajae ulimwenguni.


Kukawa manungʼuniko mengi katika makutano kwa khabari zake; wengine wakisema, Yu mtu mwema; na wengine wakisema, Sivyo, bali anawadanganya makutano.


Alipokwisha kusema haya, Wayahudi wakaenda zao, wakiulizana mengi wao kwa wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo