Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 Aniaminiye mimi, kama maandiko yalivyonena, mito ya maji ya uzima itamtoka tumhoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: ‘Anayeniamini mimi, mito ya maji ya uhai itatiririka kutoka moyoni mwake!’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: ‘Anayeniamini mimi, mito ya maji ya uhai itatiririka kutoka moyoni mwake!’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: ‘Anayeniamini mimi, mito ya maji ya uhai itatiririka kutoka moyoni mwake!’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Yeyote aniaminiye mimi, kama Maandiko yanavyosema, vijito vya maji ya uzima vitatiririka kutoka ndani yake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Yeyote aniaminiye mimi, kama Maandiko yasemavyo, vijito vya maji ya uzima vitatiririka ndani mwake.”

Tazama sura Nakili




Yohana 7:38
16 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu akamwambia, Kama ungaliijua karama ya Mungu, nae ni nani akuambiae, Nipe maji ninywe, ungalimwomba yeye, nae angalikupa maji yaliyo hayi.


walakini ye yote atakaekunywa maji yale nitakayompa mimi, hataona kiu milele, bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika hatta uzima wa milele.


(kwa kuwa tunda la nura ni katika wema wote na haki na kweli);


Tufuate:

Matangazo


Matangazo