Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 Mtanitafuta, wala hamtaniona; nami nilipo, ninyi hamwezi kuja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Mtanitafuta lakini hamtaniona, na pale nitakapokuwa nyinyi hamwezi kufika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Mtanitafuta lakini hamtaniona, na pale nitakapokuwa nyinyi hamwezi kufika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Mtanitafuta lakini hamtaniona, na pale nitakapokuwa nyinyi hamwezi kufika.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Mtanitafuta lakini hamtaniona, nami niliko ninyi hamwezi kuja.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Mtanitafuta lakini hamtaniona, nami niliko ninyi hamwezi kuja.”

Tazama sura Nakili




Yohana 7:34
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana nawaambieni, Hamtaniona kamwe tangu leo, hatta mtakaposema, Ameharikiwa ajae kwa jina la Bwana.


Bassi nikishika njia kwenda kuwaandalia mahali, nitakuja tena, niwakaribisheni kwangu; illi nilipo mimi, nanyi mwepo.


Yesu akamwambia, Ndimi niliye njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba bila kwa mimi.


Baba, hao nao ulionipa, nataka wawe pamoja nami nilipo, wapate kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa maana ulinipenda kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu.


Neno gani hilo alilolisema, Mtanitafuta wala hamtaniona; na nilipo mimi, ninyi hamwezi kuja?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo