Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 Lakini huyu twamjua atokako, bali Masihi atakapokuja, hakuna ajuae atokako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua alikotoka mtu huyu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua alikotoka mtu huyu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua alikotoka mtu huyu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Tunafahamu huyu mtu anakotoka, lakini Al-Masihi atakapokuja, hakuna yeyote atakayejua atokako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Tunafahamu huyu mtu anakotoka, lakini Al-Masihi atakapokuja, hakuna yeyote atakayejua atokako.”

Tazama sura Nakili




Yohana 7:27
14 Marejeleo ya Msalaba  

Huyu si yule sermala, mwana wa Mariamu, na ndugu wii Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simon? na ndugu zake wanawake hawapo hapa petu? Wakachukizwa nae.


Wakamshuhudia wote, wakayastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake: wakanena, Huyu siye Mwana wa Yusuf?


Wakanena, Huyu siye Yesu, mwana wa Yusuf, ambae twamjua baba yake na mama yake? Bassi, anenaje huyu, Nimeshuka kutoka mbinguni?


Wayahudi wakastaajabu, wakinena, Amepataje huyo kujua elimu, nae hajasoma?


Sisi twajua ya kuwa Mungu alisema na Musa, bali huyo hatujui atokako.


Katika kujidhili kwake hukumu yake iliondolewa. Ni nani atakaeeleza kizazi chake? Kwa maana uzima wake umeondolewa katika inchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo