Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Msihukumu hukumu ya macho, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Acheni kuhukumu mambo kwa jinsi mnavyoona tu, bali hukumuni kwa haki.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Acheni kuhukumu mambo kwa jinsi mnavyoona tu, bali hukumuni kwa haki.”

Tazama sura Nakili




Yohana 7:24
17 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi baadhi ya watu wa Yerusalemi wakanena, Huyu si yeye wanaemtafuta illi kumwua?


Ninyi mwahukumu kwa jinsi ya kiwiliwili; mimi simhukumu mtu.


Je! mnayaangalia yaliyo mbele ya macho yenu? Mtu akijitumainia nafsi yake ya kuwa yeye ni mtu wa Kristo, na afikiri hivi pia nafsini mwake, ya kwamba kama yeye alivyo mtu wa Kristo, vivyo hivyo na sisi tu watu wa Kristo.


NDUGU zangu, msiwe na imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, Bwana mwenye utukufu, kwa kupendelea watu.


je! hamkufanya ihtilafu mioyoni mwenu mkawa waamuzi wenye mawazo mabovu?


Bali mkiwapendelea watu, mwafanya dhambi na kuhukumiwa na sharia kama wakosaji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo