Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Makutano wakajibu, wakasema, Una pepo; ni nani anaetafuta kukuua?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Hapo watu wakamjibu, “Una pepo wewe! Nani anataka kukuua?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Hapo watu wakamjibu, “Una pepo wewe! Nani anataka kukuua?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Hapo watu wakamjibu, “Una pepo wewe! Nani anataka kukuua?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Ule umati wa watu wakamjibu, “Wewe una pepo mchafu! Ni nani anayetaka kukuua?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Ule umati wa watu ukamjibu, “Wewe una pepo mchafu! Ni nani anayetaka kukuua?”

Tazama sura Nakili




Yohana 7:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebul, je, si zaidi wale walio nyumbani mwake?


Lakini Mafarisayo waliposikia, wakasema, Huyu hafukuzi pepo, illa kwa uweza wa Beelzebul mkuu wa pepo.


Lakini Mafarisayo wakanena, Kwa mkuu wa pepo afukuza pepo.


kwa vile walivyonena, Ana pepo mchafu.


Wengi wao wakasema, Ana pepo, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?


Wayahudi wakajibu wakamwambia, Hatuneni vema sisi kwamba wewe u Msamaria, na una pepo?


Yesu akajibu, Mimi sina pepo; lakini namheshimu Baba yangu, nanyi hamniheshimu.


Bassi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumefahamu ya kuwa una pepo; Ibrahimu amekufa na manabii, na wewe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti kabisa hatta milele.


Alipokuwa akijitetea hivi, Festo akasema kwa sauti kuu, Paolo, una wazimu, kusoma kwako kwingi kumekugenza akili zako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo