Yohana 7:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192119 Aliyewapeni torati si Musa? wala hapana mmoja wenu aitendae torati. Mbona mnatafuta kuniua? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Je, Mose hakuwapeni sheria? Hata hivyo, hakuna hata mmoja wenu anayeishika sheria. Kwa nini mnataka kuniua?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Je, Mose hakuwapeni sheria? Hata hivyo, hakuna hata mmoja wenu anayeishika sheria. Kwa nini mnataka kuniua?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Je, Mose hakuwapeni sheria? Hata hivyo, hakuna hata mmoja wenu anayeishika sheria. Kwa nini mnataka kuniua?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Je, Musa hakuwapa ninyi sheria? Lakini hakuna hata mmoja wenu anayeishika hiyo sheria. Kwa nini mnataka kuniua?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Je, Musa hakuwapa ninyi sheria? Lakini hakuna hata mmoja wenu anayeishika hiyo sheria. Kwa nini mnataka kuniua?” Tazama sura |