Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Wayahudi wakastaajabu, wakinena, Amepataje huyo kujua elimu, nae hajasoma?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Basi, Wayahudi wakashangaa na kusema, “Mtu huyu amepataje elimu naye hakusoma shuleni?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Basi, Wayahudi wakashangaa na kusema, “Mtu huyu amepataje elimu naye hakusoma shuleni?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Basi, Wayahudi wakashangaa na kusema, “Mtu huyu amepataje elimu naye hakusoma shuleni?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Wayahudi wakastaajabia mafundisho yake wakasema, “Mtu huyu amepataje kujua mambo haya bila kufundishwa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Wayahudi wakastaajabia mafundisho yake wakasema, “Mtu huyu amepataje kujua mambo haya bila kufundishwa?”

Tazama sura Nakili




Yohana 7:15
18 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipofika inchi yake, akawafundisha katika sunagogi yao, hatta wakashangaa, wakanena, Huyu amepata wapi hekima hii na miujiza hii?


Waliposikia, wakataajabu, wakamwacha, wakaenda zao.


Makutano waliposikia, wakashangaa kwa elimu yake.


Wote waliomsikia wakataajahu kwa akili zake na majibu yake.


Wakamshuhudia wote, wakayastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake: wakanena, Huyu siye Mwana wa Yusuf?


Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma makuhani na Walawi toka Yerusalemi wamwulize, Wewe u nani?


Bassi Wayahudi wakamtafuta katika siku kuu wakanena, Yuko wapi huyo?


Illakini hapana mtu aliyemtaja kwa wazi kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi.


Wale watumishi wakajibu, Hajanena kamwe mwana Adamu aliye yote kama huyu anavyonena.


Alipokuwa akijitetea hivi, Festo akasema kwa sauti kuu, Paolo, una wazimu, kusoma kwako kwingi kumekugenza akili zako.


Bassi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kujua ya kuwa ni watu wasio elimu, wasio maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo