Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 6:69 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

69 Nasi tumeamini, tena tumejua ya kuwa wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hayi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

69 Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

69 Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

69 Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

69 Tunaamini na kujua kuwa wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

69 Tunaamini na kujua kuwa wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu.”

Tazama sura Nakili




Yohana 6:69
18 Marejeleo ya Msalaba  

Simon Petro akajibu, akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hayi.


Mwanzo wa injili ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu;


akinena, Tʼuna nini nawe, Yesu Mnazareti? umekuja kutuangamiza? Nakutambua wewe, Mtakatifu wa Mungu.


Yeye akawauliza, Na ninyi mnasema ya kuwa mimi ni nani? Petro akamjibu akamwambia, Wewe ndiwe Kristo.


Akawaambia, Na ninyi mwaninena mimi kuwa nani?


Siku ya pili yake Yohana amwona Yesu anakuja kwake, akanena, Tazama, Mwana Kondoo wa Mungu, aichukuae dhambi ya ulimwengu!


Huyu akamwona kwanza Simon, ndugu yake mwenyewe, akamwambia, Tumemwona Masihi, (tafsiri yake Kristo).


je! yeye ambae Baba alimtakasa akamtuma ulimwenguni, ninyi mwamwambia, Unakufuru, kwa sababu nalisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?


Akamwambia, Naam, Bwana; mimi nimeamini ya kwamba wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yule ajae ulimwenguni.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu, na Mungu wangu.


lakini hizi zimeandikwa mpate kuamini kwamba Yesu ni Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake.


Wakawa wakiendelea njiani, wakafika mahali penye maji: yule tawashi akasema, Yanizuia nini nisibatizwe?


khabari za Mwana wake, aliyekuwa katika ukoo wa Daud kwa jinsi ya mwili,


hatta wote tutakapoufikia umoja wa imani, na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, tuwe watu wakamilifu, hatta cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;


Na sisi tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu ndani yetu na kuliamini. Mungu ni pendo, nae akaae katika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.


KILLA mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo amezaliwa na Mungu. Na killa mtu ampendae mwenye kuzaa ampenda na yeye mwenye kuzaliwa nae.


Twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, nae ametupa akili illi tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo