Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 6:67 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

67 Bassi Yesu akawaambia wathenashara, Ninyi nanyi mnataka kuondoka?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

67 Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, “Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

67 Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, “Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

67 Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, “Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

67 Hivyo Isa akawauliza wale wanafunzi wake kumi na wawili, “Je, ninyi pia mnataka kuondoka?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

67 Hivyo Isa akawauliza wale wanafunzi wake kumi na wawili, “Je, ninyi pia mnataka kuondoka?”

Tazama sura Nakili




Yohana 6:67
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na majina ya mitume thenashara ni haya: Wa kwanza Simon aliyekwitwa Petro, na Andrea ndugu yake; Yakobo wa Zebedayo, na Yohana ndugu yake;


Yesu nae akaitwa pamoja na wanafunzi wake arusini.


Tomaso, mmoja wa wathenashara aitwae Didumo, hakuwako pamoja nao alipokuja Yesu.


Yesu akawajibu, Je! sikuwachagua ninyi thenashara, na mmoja wenu ni Shetani?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo