Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 6:66 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

66 Kwa ajili ya haya wengi katika wanafunzi wake wakarejea nyuma, wala hawakuandamana nae tena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

66 Kutokana na hayo, wengi wa wafuasi wake walirudi nyuma, wasiandamane naye tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

66 Kutokana na hayo, wengi wa wafuasi wake walirudi nyuma, wasiandamane naye tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

66 Kutokana na hayo, wengi wa wafuasi wake walirudi nyuma, wasiandamane naye tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

66 Tangu wakati huo wafuasi wake wengi wakarejea nyuma wakaacha kumfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

66 Tangu wakati huo wafuasi wake wengi wakarejea nyuma wakaacha kumfuata.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:66
17 Marejeleo ya Msalaba  

Yule kijana alipolisikia neno lile, akaenda zake kwa huzuni; kwa sababu alikuwa na mali mengi.


Yesu akamwambia, Hakuna mtu aliyetia mkono wake alime, khalafu akatazama nyuma, afaae kwa ufalme wa Mungu.


Yesu nae akaitwa pamoja na wanafunzi wake arusini.


Bassi watu wengi katika wanafunzi wake waliposikia haya, wakasema, Neno hili ni gumu, nani awezae kulisikia?


Lakini kuna wengine miongoni mwemi wasioamini. Maana Yesu alijua tangu mwanzo ni nani wasioamini na ni nani atakaenisaliti.


Bassi ndugu lake wakamwambia, Ondoka bapa uende Yahudi, wanafunzi wako nao wapate kuzitazama kazi zako unazozifanya.


Bassi Yesu akawaamhia Wayahudi wale waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mu wanafunzi wangu kweli kweli;


Wajua hili, ya kuwa wote walio katika Asia wameniacha, katika hao ni Figello na Hermogene.


maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu wa sasa, akasafiri kwenda Thessaloniki; Kreske Galatia, Tito Daimatia.


Lakini mwenye haki ataishi kwa imani; nae akisitasita, roho yangu haina furaha nae.


Walitoka kwetu, bali hawukuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka illi wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo