Yohana 6:63 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192163 Roho ndiyo itiayo uzima; mwili haufai kitu; maneno ninayowaambieni ni roho, tena ni uzima. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema63 Roho ndiyo iletayo uhai; mwili hauwezi kitu. Maneno niliyowaambia ni roho na uhai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND63 Roho ndiyo iletayo uhai; mwili hauwezi kitu. Maneno niliyowaambia ni roho na uhai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza63 Roho ndiyo iletayo uhai; mwili hauwezi kitu. Maneno niliyowaambia ni roho na uhai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu63 Roho ndiye atiaye uzima, mwili haufai kitu. Maneno haya niliyowaambia ni Roho tena ni uzima. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu63 Roho ndiye atiaye uzima, mwili haufai kitu. Maneno haya niliyowaambia ni Roho tena ni uzima. Tazama sura |