Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 6:58 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

58 Huu ni mkale ulioshuka kutoka mbinguni; si kama baba zenu walivyoila manna wakafa; aulae mkate huu ataishi milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

58 Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zenu, wakafa. Aulaye mkate huu atakuwa hai milele.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

58 Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zenu, wakafa. Aulaye mkate huu atakuwa hai milele.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

58 Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zenu, wakafa. Aulaye mkate huu atakuwa hai milele.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

58 Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

58 Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.”

Tazama sura Nakili




Yohana 6:58
6 Marejeleo ya Msalaba  

na killa mwenye uzima na kuniamini mimi hatakufa kabisa hatta milele. Je! waamini haya?


Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; na asiyemtii Mwana hataona uzima, hali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


Amin, amin, nawaambieni, Alisikiae neno langu na kumwamini yeye aliyenipeleka ana uzima wa milele, wala hafiki hukumuni, bali amepita toka mauti hatta uzima.


Bassi Wayahudi wakamnungʼunikia, kwa sababu alisema, Mimi ni mkate ulioshuka kutoka mbinguni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo