Yohana 6:54 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192154 Ailae nyama yangu na kuinywa damu yangu ana uzima wa milele; mimi nitamfufua siku ya mwisho. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema54 Anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu anao uhai wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND54 Anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu anao uhai wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza54 Anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu anao uhai wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu54 Mtu yeyote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu54 Mtu yeyote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho. Tazama sura |