Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 6:50 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

50 Huu ni mkate ushukao kutoka mbinguni, illi mtu aule wala asife.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Lakini huu ni mkate unaoshuka kutoka mbinguni ili yeyote atakayeula asife.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Lakini huu ni mkate unaoshuka kutoka mbinguni ili yeyote atakayeula asife.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Lakini huu ni mkate unaoshuka kutoka mbinguni ili yeyote atakayeula asife.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 Lakini hapa kuna mkate kutoka mbinguni, ambao mtu yeyote akiula, hatakufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni, ambao mtu yeyote akiula, hatakufa.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:50
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na hapana mtu aliyepanda mbinguni, illa yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, Mwana wa Adamu alioko mbinguni.


Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; na asiyemtii Mwana hataona uzima, hali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


Amin, amin, nawaambieni, Alisikiae neno langu na kumwamini yeye aliyenipeleka ana uzima wa milele, wala hafiki hukumuni, bali amepita toka mauti hatta uzima.


Kwa maana mkate wa Mungu ni ule ushukao kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima.


Wakanena, Huyu siye Yesu, mwana wa Yusuf, ambae twamjua baba yake na mama yake? Bassi, anenaje huyu, Nimeshuka kutoka mbinguni?


Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi ana uzima wa milele.


Mimi ni mkate wa uzima ulioshuka kutoka mbinguni; mtu akila mkate huu, ataishi milele: na mkate nitakaotoa mimi ni nyama yangu nitakayotoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.


Huu ni mkale ulioshuka kutoka mbinguni; si kama baba zenu walivyoila manna wakafa; aulae mkate huu ataishi milele.


Amin, amin, nawaambieni, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti kabisa hatta milele.


Na Kristo akiwa ndani yenu, mwili wenu u katika hali ya kufa kwa sababu ya dhambi, bali roho yenu i katika hali ya uzima, kwa sababu ya haki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo