Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 6:49 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

49 Baba zetu waliila manna jangwani wakafa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:49
8 Marejeleo ya Msalaba  

Baba zetu waliila manna jangwani, kama ilivyoandikwa, Aliwapa mkate kutoka mbinguni wale.


Huu ni mkale ulioshuka kutoka mbinguni; si kama baba zenu walivyoila manna wakafa; aulae mkate huu ataishi milele.


Tena napenda kuwakumbusha, ijapo mmekwisha kujua haya yote, ya kwamba Bwana, baada ya kuwaokoa watu katika inchi ya Misri, aliwaharibu wasioamini.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae nitampa kula baadhi ya ile manna iliyofiehwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina, jina asilolijua mtu illa yeye aliyepewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo