Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 6:47 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

47 Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi ana uzima wa milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

47 Kweli, nawaambieni, anayeamini anao uhai wa milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

47 Kweli, nawaambieni, anayeamini anao uhai wa milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

47 Kweli, nawaambieni, anayeamini anao uhai wa milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

47 Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

47 Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:47
15 Marejeleo ya Msalaba  

na killa mwenye uzima na kuniamini mimi hatakufa kabisa hatta milele. Je! waamini haya?


Bado kidogo na ulimwengu haunioni tena; bali ninyi mnaniona; kwa sababu mimi ni hayi, ninyi nanyi mtakuwa hayi.


Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hatta akampeleka Mwana wake wa pekee, illi mtu aliye yote amwaminiye asipotee, bali apate uzima wa milele.


Amwaminiye hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha kuhukumiwa, kwa maana hakuliamini jina la Mwana wa pekee wa Mungu.


Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; na asiyemtii Mwana hataona uzima, hali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


Amin, amin, nawaambieni, Alisikiae neno langu na kumwamini yeye aliyenipeleka ana uzima wa milele, wala hafiki hukumuni, bali amepita toka mauti hatta uzima.


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hatta uzima wa milele, Mwana wa Adamu atakachowapeni: maana huyu ndiye aliyetiwa muhuri na Baba, yaani, Mungu.


Na mapenzi yake aliyenipeleka ni haya ya kwamba killa amtazamae Mwana na kumwamini awe ua uzima wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho.


Huu ni mkate ushukao kutoka mbinguni, illi mtu aule wala asife.


Mimi ni mkate wa uzima ulioshuka kutoka mbinguni; mtu akila mkate huu, ataishi milele: na mkate nitakaotoa mimi ni nyama yangu nitakayotoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.


Ailae nyama yangu na kuinywa damu yangu ana uzima wa milele; mimi nitamfufua siku ya mwisho.


Huu ni mkale ulioshuka kutoka mbinguni; si kama baba zenu walivyoila manna wakafa; aulae mkate huu ataishi milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo