Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 6:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Siye Musa aliyewapa mkate ule kutoka mbinguni, bali Baba yangu anawapa mkate ule utokao mbinguni ulio wa kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, Mose hakuwapeni mkate kutoka mbinguni; Baba yangu ndiye awapaye nyinyi mkate wa kweli kutoka mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, Mose hakuwapeni mkate kutoka mbinguni; Baba yangu ndiye awapaye nyinyi mkate wa kweli kutoka mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, Mose hakuwapeni mkate kutoka mbinguni; Baba yangu ndiye awapaye nyinyi mkate wa kweli kutoka mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Isa akawaambia, “Amin, amin nawaambia, si Musa aliyewapa mikate kutoka mbinguni, bali Baba yangu ndiye anawapa mkate wa kweli kutoka mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Isa akawaambia, “Amin, amin nawaambia, si Musa aliyewapa mikate kutoka mbinguni, bali Baba yangu ndiye anawapa mkate wa kweli kutoka mbinguni.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:32
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kulikuwako nuru halisi, imtiayo nuru killa mtu ajae katika ulimwengu.


MIMI ndimi niliye mzabibu wa kweli, na Baba yangu ni mkulima.


Baba zetu waliila manna jangwani, kama ilivyoandikwa, Aliwapa mkate kutoka mbinguni wale.


Kwa maana mkate wa Mungu ni ule ushukao kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima.


Yesu akawaambia, Mimi ni mkate wa uzima; yeye ajae kwangu hataona njaa kabisa, nae aniaminiye hataona kiu kamwe.


Bassi Wayahudi wakamnungʼunikia, kwa sababu alisema, Mimi ni mkate ulioshuka kutoka mbinguni.


Huu ni mkate ushukao kutoka mbinguni, illi mtu aule wala asife.


Kwa maima nyama yangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli,


Huu ni mkale ulioshuka kutoka mbinguni; si kama baba zenu walivyoila manna wakafa; aulae mkate huu ataishi milele.


Hatta ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwana wake, amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sharia,


Twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, nae ametupa akili illi tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo