Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 6:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Baba zetu waliila manna jangwani, kama ilivyoandikwa, Aliwapa mkate kutoka mbinguni wale.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Wazee wetu walikula mana kule jangwani, kama yasemavyo Maandiko: ‘Aliwalisha mkate kutoka mbinguni.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Wazee wetu walikula mana kule jangwani, kama yasemavyo Maandiko: ‘Aliwalisha mkate kutoka mbinguni.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Wazee wetu walikula mana kule jangwani, kama yasemavyo Maandiko: ‘Aliwalisha mkate kutoka mbinguni.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Baba zetu walikula mana jangwani, kama ilivyoandikwa, ‘Aliwapa mikate kutoka mbinguni ili wale.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Baba zetu walikula mana jangwani, kama ilivyoandikwa, ‘Aliwapa mikate kutoka mbinguni ili wale.’ ”

Tazama sura Nakili




Yohana 6:31
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Siye Musa aliyewapa mkate ule kutoka mbinguni, bali Baba yangu anawapa mkate ule utokao mbinguni ulio wa kweli.


Baba zetu waliila manna jangwani wakafa.


Huu ni mkale ulioshuka kutoka mbinguni; si kama baba zenu walivyoila manna wakafa; aulae mkate huu ataishi milele.


wote wakala chakula kile kile cha roho;


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae nitampa kula baadhi ya ile manna iliyofiehwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina, jina asilolijua mtu illa yeye aliyepewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo