Yohana 6:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192130 Wakamwambia, Unafanya ishara gani bassi illi tuone tukaamini? Unatenda kazi gani? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Hapo wakamwambia, “Utafanya ishara gani ili tuione tupate kukuamini? Utafanya kitu gani? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Hapo wakamwambia, “Utafanya ishara gani ili tuione tupate kukuamini? Utafanya kitu gani? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Hapo wakamwambia, “Utafanya ishara gani ili tuione tupate kukuamini? Utafanya kitu gani? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Hivyo wakamuuliza, “Utafanya ishara gani ya muujiza, ili tuione tukuamini? Utafanya jambo gani? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Hivyo wakamuuliza, “Utafanya ishara gani ya muujiza, ili tuione tukuamini? Utafanya jambo gani? Tazama sura |