Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 6:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Bassi wakamwambia, Tufanyeje tupate kuzitenda kazi za Mungu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Wao wakamwuliza, “Tufanye nini ili tuweze kuzitenda kazi za Mungu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Wao wakamwuliza, “Tufanye nini ili tuweze kuzitenda kazi za Mungu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Wao wakamwuliza, “Tufanye nini ili tuweze kuzitenda kazi za Mungu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Ndipo wakamuuliza, “Tufanye nini ili tupate kuitenda kazi ya Mungu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Ndipo wakamuuliza, “Tufanye nini ili tupate kuitenda kazi ya Mungu?”

Tazama sura Nakili




Yohana 6:28
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja akamwendea akamwambia, Mwalimu mwema, nitende jambo gani jema, illi nipate uzima wa milele?


Mwana sharia mmoja akasimama akimjaribu, akasema, Mwalimu, nifanyeni niurithi uzima wa milele?


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hatta uzima wa milele, Mwana wa Adamu atakachowapeni: maana huyu ndiye aliyetiwa muhuri na Baba, yaani, Mungu.


Yesu akajibu, akawaambia, Hii ni kazi ya Mungu, mmwamini yeye aliyetumwa nae.


kiisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, nifanye nini nipate kuokoka?


Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?


Lakini simama, uingie mjini, utaambiwa yatakayokupasa kutenda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo