Yohana 6:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 Bassi Yesu, akitambua ya kuwa walitaka kuja kumchukua illi wamfanye mfalme, akajitenga, akaenda tena mlimani, yeye peke yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Yesu akajua kwamba watu walitaka kumchukua wamfanye mfalme, akaondoka tena, akaenda mlimani peke yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Yesu akajua kwamba watu walitaka kumchukua wamfanye mfalme, akaondoka tena, akaenda mlimani peke yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Yesu akajua kwamba watu walitaka kumchukua wamfanye mfalme, akaondoka tena, akaenda mlimani peke yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Isa akijua kwamba walitaka kuja kumfanya awe mfalme wao, kwa nguvu, akajitenga nao akaenda milimani peke yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Isa akijua kwamba walitaka kuja kumfanya awe mfalme wao, kwa nguvu, akajitenga nao akaenda milimani peke yake. Tazama sura |