Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 6:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Waliposhiba, akawaambia wanafunzi wake, Kusanyeni vipande vilivyobaki, kitu kisipotee.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Watu waliposhiba Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kusanyeni vipande vilivyobaki visipotee.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Watu waliposhiba Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kusanyeni vipande vilivyobaki visipotee.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Watu waliposhiba Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kusanyeni vipande vilivyobaki visipotee.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Watu wote walipokwisha kula na kushiba, akawaambia wanafunzi wake, “Kusanyeni vipande vilivyobaki vya ile mikate, kisipotee chochote.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Watu wote walipokwisha kula na kushiba, akawaambia wanafunzi wake, “Kusanyeni vipande vilivyobaki vya ile mikate, kisipotee chochote.”

Tazama sura Nakili




Yohana 6:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wenye njaa amewashibisha mema; Wenye mali amewaondoa mikono mitupu


Hatta baada ya siku si nyingi yule mdogo akakusanya vitu vyake vyote, akasafiri kwenda inchi ya mbali: akatapanya huko mali zake kwa maisha ya uasharati.


TENA Yesu akawaambia wanafunzi wake, Kulikuwa na mtu tajiri, aliyekuwa na wakili; huyu akashitakiwa kwake kuwa anatapanya mali zake.


Wakala, wakashiba wote: na vile vipande vilivyowabakia vikaokotwa, vikapu thenashara.


Yesu nae akaitwa pamoja na wanafunzi wake arusini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo