Yohana 6:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 BAADA ya haya Yesu alikwenda zake ngʼambu ya bahari ya Galilaya, bahari ya Tiberia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Baada ya hayo, Yesu alivuka ziwa Galilaya (au ziwa Tiberia). Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Baada ya hayo, Yesu alivuka ziwa Galilaya (au ziwa Tiberia). Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Baada ya hayo, Yesu alivuka ziwa Galilaya (au ziwa Tiberia). Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Baada ya haya, Isa alienda ng’ambo ya Bahari ya Galilaya (ambayo pia huitwa Bahari ya Tiberia). Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Baada ya haya, Isa alikwenda ng’ambo ya Bahari ya Galilaya, ambayo pia huitwa Bahari ya Tiberia. Tazama sura |