Yohana 5:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Na huko palikuwa na mtu, amekuwa hawezi muda wa miaka thelathini na minane. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Mtu mmoja aliyekuwa ameugua kwa miaka thelathini na nane alikuwa hapo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Mtu mmoja alikuwako huko ambaye alikuwa ameugua kwa miaka thelathini na minane. Tazama sura |