Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 5:42 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

42 Walakini nimewajua ninyi ya kuwa hamna upendo wa Mungu ndani yenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Lakini nawajua nyinyi, najua kwamba upendo kwa Mungu haumo mioyoni mwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Lakini nawajua nyinyi, najua kwamba upendo kwa Mungu haumo mioyoni mwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Lakini nawajua nyinyi, najua kwamba upendo kwa Mungu haumo mioyoni mwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 lakini mimi ninawafahamu. Ninajua kwamba hamna upendo wa Mungu mioyoni mwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 Lakini ninajua kwamba hamna upendo wa Mungu mioyoni mwenu.

Tazama sura Nakili




Yohana 5:42
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Ninyi ndio watu wanaodai kuwa wenye haki mbele ya wana Adamu, lakini Mungu anajua mioyo yenu; kwa maana lililotukuka kwa wana Adamu, ni chukizo mbele ya Mungu.


na kwa sababu hakuwa na haja ya watu kushuhudia khabari za niwana Adamu; kwa maana yeye mwenyewe alijua yaliyomo ndani ya mwana Adamu.


Akamwambia marra ya tatu, Simon wa Yohana, Wanipenda mimi? Petro akahuzunika kwa kuwa alimwambia marra ya tatu, Wanipenda mimi? Akamwambia, Bwana, wewe unajua yote; unajua ya kuwa nakupenda. Yesu amwambia, Lisha kondoo zangu.


Sipokei utukufu kwa wana Adamu.


Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, nanyi hamnipokei: mwingine akija kwa jina lake mwenyewe mtampokea huyo.


Mwawezaje kuamini ninyi mnaopokezanya utukufu ninyi kwa ninyi, na utukufu ule utokao kwa Mungu aliye wa pekee hamwutafuti?


Yesu akawaambia, Kama Mungu angekuwa baba yenu mngenipenda mimi; kwa maana nalitoka kwa Mungu, na nimekuja; wala sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye ndiye aliyenituma.


Aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu; kwa hiyo ninyi hamsikii, kwa sababu ninyi si wa Mungu.


Nanyi hamkumjua; lakini mimi namjua, na nikisema ya kwamba simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi; lakini namjua na neno lake nalishika.


Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sharia ya Mungu wala haiwezi.


Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake.


Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia hii, akamwona ndugu yake yu muhitaji, akamzuilia huruma zake, je! huko ndiko kumpenda Mungu?


Mtu akisema, Nampenda Mungu, nae anamchukia ndugu yake, yu mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambae amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambae hakumwona.


nami nitawaua watoto wake kwa manti. Na makanisa yote watajua ya kuwa mimi ndiye achunguzae viuno na mioyo. Nami nitampa killa mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo