Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 5:41 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

41 Sipokei utukufu kwa wana Adamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 “Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 “Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 “Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 “Mimi sikubali kutukuzwa na wanadamu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 “Mimi sitafuti kutukuzwa na wanadamu.

Tazama sura Nakili




Yohana 5:41
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana waliupenda utukufu wa wana Adamu kuliko utukufu wa Mungu.


Lakini mimi sipokei ushuhuda kwa wana Adamu; walakini ninasema haya illi ninyi mpate kuokoka.


wala hamtaki kuja kwangu, mpate kuwa na uzima.


Walakini nimewajua ninyi ya kuwa hamna upendo wa Mungu ndani yenu.


Mwawezaje kuamini ninyi mnaopokezanya utukufu ninyi kwa ninyi, na utukufu ule utokao kwa Mungu aliye wa pekee hamwutafuti?


Bassi Yesu, akitambua ya kuwa walitaka kuja kumchukua illi wamfanye mfalme, akajitenga, akaenda tena mlimani, yeye peke yake.


Yeye anenae kwa nafsi yake tu, hutafuta utukufu wake mwenyewe; bali yeye anaetafuta utukufu wake aliyempeleka, huyu ni wa kweli wala ndani yake hamna udhalimu.


Nami siutafuti ntukufu wangu; yuko atafutae na kuhukumu.


Yesu akajibu, Nikijitukuza nafsi yangu, utukufu wangu si kitu; anitukuzae ni Baba yangu; mmnenae ninyi kuwa ni Mungu wenu.


Hatukutaka kusifiwa na watia Adamu, wala na ninyi, wala na wengine, tulipokuwa tuliweza kuwalemea kama mitume wa Kristo;


Kwa sababu ndio mlioitiwa: maana Kristo nae aliteswa kwa ajili yenu, akiwaachieni mfano, mfuate nyayo zake;


Maana alipata kwa Mungu Baba heshima na utukufu, hapo alipoletewa sauti iliyotoka katika utukufu mkuu, ya kama, Huyu ndiye mwanangu nimpendae, amhae nimependezwa nae.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo