Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 5:40 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

40 wala hamtaki kuja kwangu, mpate kuwa na uzima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Hata hivyo, nyinyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uhai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Hata hivyo, nyinyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uhai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Hata hivyo, nyinyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uhai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Lakini mnakataa kuja kwangu ili mpate uzima.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Lakini mnakataa kuja kwangu ili mpate uzima.

Tazama sura Nakili




Yohana 5:40
23 Marejeleo ya Msalaba  

Akawatuma watumishi wake wawaite walioalikwa kuja arusini: nao hawakutaka kuja.


Ee Yerusalemi, Yerusalemi, wenye kuwaua manabii, na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! marra ngapi nimetaka kuwakusanya pamoja watoto wako, kama vile kuku avikusanyavyo pamoja vifaranga vyake chini ya mbawa zake, wala hamkukubali!


Alikuja kwake, nao walio wake hawakumpokea.


Mwizi haji illa aibe, achinje, aharibu; mimi nalikuja wawe na uzima, na wawe nao tele.


Na hii ndiyo hukumu, ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, watu wakapenda giza zaidi ya nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.


Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake: na hayo ndiyo yanayonishuhudia:


Sipokei utukufu kwa wana Adamu.


Mwawezaje kuamini ninyi mnaopokezanya utukufu ninyi kwa ninyi, na utukufu ule utokao kwa Mungu aliye wa pekee hamwutafuti?


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hatta uzima wa milele, Mwana wa Adamu atakachowapeni: maana huyu ndiye aliyetiwa muhuri na Baba, yaani, Mungu.


Yote anipayo Bwana itakuja kwangu; nae ajae kwangu sitamtupa nje kamwe.


Na mapenzi yake aliyenipeleka ni haya ya kwamba killa amtazamae Mwana na kumwamini awe ua uzima wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho.


Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; hali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.


Na Roho na Bibi arusi wasema, Njoo. Nae asikiae aseme, Njoo. Nae aliye na kiu, na aje: na apendae ayatwae maji ya uzima burre.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo