Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 5:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 Na neno lake hamnalo likikaa ndani yenu, kwa kuwa ninyi hamwamini yeye alivetumwa nae.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 na ujumbe wake haukai ndani yenu maana hamkumwamini yule aliyemtuma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 na ujumbe wake haukai ndani yenu maana hamkumwamini yule aliyemtuma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 na ujumbe wake haukai ndani yenu maana hamkumwamini yule aliyemtuma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 wala hamna neno lake ndani yenu, kwa sababu hamkumwamini yeye aliyetumwa naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 wala hamna neno lake ndani yenu, kwa sababu hamkumwamini yeye aliyetumwa naye.

Tazama sura Nakili




Yohana 5:38
19 Marejeleo ya Msalaba  

Alikuja kwake, nao walio wake hawakumpokea.


Mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, mtaomba killa mtakalo, na mtafanyiziwa.


Najua ya kuwa m mzao wa Ibrahimu; lakini mnatafuta kuniua kwa sababu neno langu halina nafasi ndani yenu.


Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; kwa neema mkimwimbia Bwana mioyoni mwenu.


Nimewaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu m hodari, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, na mmemshinda yule mwovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo