Yohana 5:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192134 Lakini mimi sipokei ushuhuda kwa wana Adamu; walakini ninasema haya illi ninyi mpate kuokoka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Si kwamba mimi nautegemea ushahidi wa wanadamu, lakini nasema mambo haya ili mpate kuokolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Si kwamba mimi nautegemea ushahidi wa wanadamu, lakini nasema mambo haya ili mpate kuokolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Si kwamba mimi nautegemea ushahidi wa wanadamu, lakini nasema mambo haya ili mpate kuokolewa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Si kwamba naukubali ushuhuda wa mwanadamu; la, bali ninalitaja hili ili ninyi mpate kuokolewa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Si kwamba naukubali ushuhuda wa mwanadamu, la, bali ninalitaja hili kusudi ninyi mpate kuokolewa. Tazama sura |