Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 5:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 akampa mamlaka ya kufanya hukumu kwa sababu yu Mwana wa Adamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Naye amempa Mwanawe mamlaka ya kuhukumu kwa kuwa yeye ni Mwana wa Adamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Naye amempa Mwanawe mamlaka ya kuhukumu kwa kuwa yeye ni Mwana wa Adamu.

Tazama sura Nakili




Yohana 5:27
15 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini illi mjue ya kuwa Mwana wa Adamu yuna mamlaka katika dunia kuondoa dhambi, (amwambia yule mgonjwa wa kupooza) Ondoka, ujitwike kitanda chako, ukaende nyumbani kwako.


Maana Baba hamhukumu mtu aliye yote, bali amempa Mwana hukumu yote;


Yesu akasema, Mimi nimekuja ulimwenguni humu kwa hukumu, illi wasioona waone, nao wanaoona wawe vipofu.


Akatuagiza tuwakhubiri watu na kushuhudu ya kuwa huyu udiye aliyeamriwa na Mungu awe Mhukumu wa hayi na wafu.


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa ujumbe wa mtu yule aliyemchagua; nae amewapa watu wote bayana ya mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


Maana sharti amiliki yeye, hatta awaweke maadui wote chini ya miguu yake.


mwisho wa siku bizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi yote, kwa yeye aliufanya ulimwengu.


alioko mkono wa kuume wa Mungu, amekwenda zake mbinguni, malaika na enzi na nguvu zimetiishwa chini yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo