Yohana 5:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192126 Maana kama vile Baba alivyo na uzima nafsini mwake, vivyo hivyo alimpa na Mwana kuwa na uzima nafsini mwake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Kama vile Baba alivyo asili ya uhai, ndivyo pia alivyomjalia Mwanae kuwa asili ya uhai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Kama vile Baba alivyo asili ya uhai, ndivyo pia alivyomjalia Mwanae kuwa asili ya uhai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Kama vile Baba alivyo asili ya uhai, ndivyo pia alivyomjalia Mwanae kuwa asili ya uhai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake, vivyo hivyo amempa Mwana kuwa na uzima ndani yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake, vivyo hivyo amempa Mwana kuwa na uzima ndani yake. Tazama sura |