Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 5:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

22 Maana Baba hamhukumu mtu aliye yote, bali amempa Mwana hukumu yote;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Baba hamhukumu mtu yeyote; shughuli yote ya hukumu amemkabidhi Mwana,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Baba hamhukumu mtu yeyote; shughuli yote ya hukumu amemkabidhi Mwana,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Baba hamhukumu mtu yeyote; shughuli yote ya hukumu amemkabidhi Mwana,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Wala Baba hamhukumu mtu yeyote, lakini hukumu yote amempa Mwana,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Wala Baba hamhukumu mtu yeyote, lakini hukumu yote amempa Mwana,

Tazama sura Nakili




Yohana 5:22
23 Marejeleo ya Msalaba  

Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu: wala hakuna mtu amjuae Mwana, illa Baba; wala hakuna mtu amjuae Baba illa Mwana, na ye yote ambae Mwana apenda kumfunulia.


Kwa maana Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake; ndipo atamlipa killa mtu kwa kadiri ya kutenda kwake.


Yesu akaja kwao, akasema nao, akinena, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na juu ya dunia.


kama vile ulivyompa mamlaka juu ya killa mwenye mwili, illi yote uliyompa awape uzima wa milele.


Baba ampenda Mwana, amempa vyote mikononi mwake.


akampa mamlaka ya kufanya hukumu kwa sababu yu Mwana wa Adamu.


Yesu akasema, Mimi nimekuja ulimwenguni humu kwa hukumu, illi wasioona waone, nao wanaoona wawe vipofu.


Akatuagiza tuwakhubiri watu na kushuhudu ya kuwa huyu udiye aliyeamriwa na Mungu awe Mhukumu wa hayi na wafu.


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa ujumbe wa mtu yule aliyemchagua; nae amewapa watu wote bayana ya mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wana Adamu, sawa sawa na injili yangu, kwa Yesu Kristo.


Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu ya Kristo, illi killa mtu apokee kadiri alivyotenda kwa mwili, vikiwa vyema au vikiwa vibaya.


NAKUSHUHUDIA mbele za Mungu, na Bwana Yesu Kristo, atakaewahukumu walio hayi na waliokufa, kwa kudhihiri kwake, na kwa ufalme wake;


watakaotoa hesabu kwake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hayi na waliokufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo