Yohana 5:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 Yule mtu akaenda zake, akawapasha Wayahudi khabari ya kwamba Yesu ndiye aliyemfanya kuwa mzima. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Yule mtu akaenda, akawaambia wale viongozi wa Wayahudi kuwa ni Isa aliyemponya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Yule mtu akaenda, akawaambia wale Wayahudi kuwa ni Isa aliyemponya. Tazama sura |