Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 5:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Akawajibu, Yeye aliyenifanya kuwa mzima, ndiye aliyeniambia, Jitwike kitanda chako, ukaende.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Lakini yeye akawaambia, “Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Lakini yeye akawaambia, “Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Lakini yeye akawaambia, “Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Yeye akawajibu, “Yule mtu aliyeniponya aliniambia, ‘Chukua mkeka wako na uende.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Yeye akawajibu, “Yule mtu aliyeniponya aliniambia, ‘Chukua mkeka wako na uende.’ ”

Tazama sura Nakili




Yohana 5:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hiyo Wayahudi wakamwambia yule aliyeponywa, Leo ni sabato, si halali kwako kujitwika kitanda chako.


Bassi wakamwuliza, Yule mtu aliyekuambia, Jitwike kitanda chako ukaende, ni nani?


Wakamwambia, Yuko wapi mtu huyo? Akanena, Sijui.


Bassi baadhi ya Mafarisayo wakanena, Mtu huyu hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakanena, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo