Yohana 5:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 BAADA ya haya palikuwa na siku kuu ya Wayahudi; Yesu akapanda kwenda Yerusalemi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Baada ya hayo kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi, naye Yesu akaenda Yerusalemu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Baada ya hayo kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi, naye Yesu akaenda Yerusalemu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Baada ya hayo kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi, naye Yesu akaenda Yerusalemu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Baada ya haya, kulikuwa na Sikukuu ya Wayahudi, naye Isa akapanda kwenda Yerusalemu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Baada ya haya, kulikuwa na Sikukuu ya Wayahudi, naye Isa akapanda kwenda Yerusalemu. Tazama sura |