Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 4:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Maana wanafunzi wake wamekwenda mjini wanunue chakula.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 (Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 (Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 (Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 (Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wameenda mjini kununua chakula.)

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 (Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)

Tazama sura Nakili




Yohana 4:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Wapeni ninyi chakula. Wakasema, Hatuna kitu zaidi ya mikate mitano na samaki mbili, tusipokwenda sisi wenyewe tukawannnulie vyakula watu hawa wote.


Yesu nae akaitwa pamoja na wanafunzi wake arusini.


Marra hiyo wakaja wanafunzi wake wakastaajabu kwa sababu alikuwa akisema na mwanamke; lakini hapana aliyesema, Unatafuta nini? au, Kwa nini unasema nae?


Na katika mji ule Wasamaria wengi wakaamini kwa sababu ya maneno ya yule mwananike, aliposhuhudu, kwamba, Aliniambia mambo yote niliyoyatenda.


Bassi akafika mji wa Samaria, uitwao Sukar, karibu na lile shamba ambalo Yakobo alimpa Yusuf mwanawe.


Akaja mwanamke wa Kisamaria kuteka maji. Yesu akamwambia, Nipe maji ninywe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo