Yohana 4:53 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192153 Bassi baba yake akafahamu ya kuwa ni saa ileile aliyoambiwa na Yesu, Mwana wako yu hayi. Akaamini yeye na nyumba yake yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema53 Huyo baba akakumbuka kwamba ilikuwa ni saa ileile ambapo Yesu alimwambia: “Mwanao ataishi.” Hapo yeye akaamini pamoja na jamaa yake yote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND53 Huyo baba akakumbuka kwamba ilikuwa ni saa ileile ambapo Yesu alimwambia: “Mwanao ataishi.” Hapo yeye akaamini pamoja na jamaa yake yote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza53 Huyo baba akakumbuka kwamba ilikuwa ni saa ileile ambapo Yesu alimwambia: “Mwanao ataishi.” Hapo yeye akaamini pamoja na jamaa yake yote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu53 Ndipo baba wa huyo mtoto akakumbuka kuwa huo ndio wakati Isa alikuwa amemwambia, “Mwanao yu hai.” Kwa hiyo yeye na wote wa nyumbani mwake wakamwamini Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu53 Ndipo baba wa huyo mtoto akakumbuka kuwa huo ndio wakati ambapo Isa alikuwa amemwambia, “Mwanao yu hai.” Kwa hiyo yeye, pamoja na wote wa nyumbani mwake wakamwamini Isa. Tazama sura |