Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 4:49 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

49 Yule diwani akamwambia, Bwana, shuka kabla hajafa mtoto wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Huyo ofisa akamwambia, “Bwana, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Huyo ofisa akamwambia, “Bwana, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Huyo ofisa akamwambia, “Bwana, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Yule afisa wa mfalme akamwambia, “Bwana, tafadhali shuka kabla mwanangu hajafa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Yule afisa wa mfalme akamwambia, “Bwana, tafadhali shuka kabla mwanangu hajafa.”

Tazama sura Nakili




Yohana 4:49
6 Marejeleo ya Msalaba  

akimsihi sana, akinena. Binti yangu mdogo yu katika kufa: nakuomba nje, nweke mkono wako juu yake, apate kupona, nae ataishi.


Bassi Yesu akamwambia, Msipoona ishara na maajabu hamtaamini kabisa.


Yesu akamwambia, Shika njia yako: mwana wako yu hayi. Mtu yule akaliamini lile neno aliloambiwa na Yesu, akashika njia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo