Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 4:43 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

43 Baada ya siku hizo mbili akaondoka huko, akaenda Galilaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Baada ya zile siku mbili, Isa aliondoka kwenda Galilaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Baada ya zile siku mbili, Isa aliondoka kwenda Galilaya.

Tazama sura Nakili




Yohana 4:43
8 Marejeleo ya Msalaba  

akatoka Nazareti, akaenda, akakaa Kapernaum, ulioko pwani, mipakani mwa Zabulon na Nafthalim:


Akampeleka kwa Yesu. Yesu akamtazama, akasema, Wewe Simon, mwana wa Yona, utakwitwa Kefa (tafsiri yake, Petro).


Bassi wale Wasamaria walipomwendea walimsihi akae kwao; akakaa huko siku mbili.


Kwa maana Yesu mwenyewe alishuhudu ya kwamba nabii hana heshima katika inchi yake mwenyewe.


Bassi akafika tena Kana ya Galilaya, hapo alipofanya maji kuwa divai. Na palikuwa na diwani mmoja, ana mwana hawezi Kapernaum.


Bassi nasema, Yesu Kristo amefanyika mkhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu, kusudi azithubutishe ahadi walizopewa haha zetu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo