Yohana 4:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192137 Maana neno lile, Mmoja hupanda, mwingine akavuna, huwa kweli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Hivyo ule msemo, ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna,’ ni kweli kabisa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Hivyo kule kusema, ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna,’ ni kweli kabisa. Tazama sura |