Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 4:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

37 Maana neno lile, Mmoja hupanda, mwingine akavuna, huwa kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Hivyo ule msemo, ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna,’ ni kweli kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Hivyo kule kusema, ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna,’ ni kweli kabisa.

Tazama sura Nakili




Yohana 4:37
7 Marejeleo ya Msalaba  

maana nalikuogopa, kwa sababu wewe mtu mgumu; waondoa usichoweka, wavuna usichopanda.


Amin, amin, nawaambieni, Aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi na yeye atazifanya; atafanya na kubwa kuliko hizi, kwa kuwa nashika njia kwenda kwa Baba.


Avunae hupokea mshahara na kukusanya matunda kwa uzima wa milele, illi yeye apandae na yeye avunae wafurahi pamoja.


Mimi naliwatuma myavune msiyoyataabikia; wengine walitaabika, nanyi mmeingia katika taabu yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo