Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 4:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Bassi wanafunzi wake wakasemezana, Je! mtu amemletea chakula?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Wanafunzi wake wakaulizana, “Je, kuna mtu aliyemletea chakula?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Wanafunzi wake wakaulizana, “Je, kuna mtu aliyemletea chakula?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Wanafunzi wake wakaulizana, “Je, kuna mtu aliyemletea chakula?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, “Kuna mtu ambaye amemletea chakula?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, “Kuna mtu ambaye amemletea chakula?”

Tazama sura Nakili




Yohana 4:33
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ulipokuwa mchana akawaita wanafunzi wake: akachagua watu thenashara miongoni mwao, ambao aliwaita mitume.


Lakini hawakulifuhamu neno lile, likawa limefichwa kwao wasipate kulitambua. Wakaogopa kumwuliza maana ya neno lile.


Andrea, ndugu ya Simon Petro, alikuwa mmoja wa wale wawili waliomsikia Yohana na kumfuata.


Yesu nae akaitwa pamoja na wanafunzi wake arusini.


Akawaambia, Mimi nina chakula msichokijua ninyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo