Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 4:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabbi, ule.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: “Mwalimu, kula chakula.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: “Mwalimu, kula chakula.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: “Mwalimu, kula chakula.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wakimsihi, “Mwalimu, kula.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wakimsihi, “Mwalimu, kula angalau chochote.”

Tazama sura Nakili




Yohana 4:31
18 Marejeleo ya Msalaba  

na kusalimiwa sokoni, na kuitwa na watu, Rabbi, Rabbi.


Bali ninyi nisiitwe Rabbi; maana mwalimu wenu yu mmoja ndiye Kristo, na ninyi nyote ni ndugu.


Yuda, yule mwenye kumsaliti, akajibu, akasema, Ni mimi, Rabbi? Akamwambia, Wewe umesema.


Marra akamwendea Yesu, akasema, Salam, Rabbi, akambusu sana.


Petro akakumbuka khabari yake, akamwabia, Rabbi, tazama, mtini ulioulaani umekauka.


Alipokuja, marra akamwendea, akasema, Rabbi, Rabbi; akambusu sana.


Petro akajibu, akamwambia Yesu, Rabbi, ni vizuri sisi kuwapo hapa: na tufanye vibanda vitatu, kimoja chako wewe, kimoja cha Musa, na kimoja eha Eliya.


Wakamwambia, Rabbi (tafsiri yake, Mwalimu), unakaa wapi? Akawaambia, Njoni muone.


Nathanaeli akajibu, akamwambia, Rabbi, wewe u Mwana wa Mungu, ndiwe mfalme wa Israeli.


Wale wanafunzi wakamwambia, Rabbi, juzi juzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga mawe, nawe unakweuda huko tena?


huyu alikuja kwa Yesu usiku, akamwambia, Rabbi, twajua ya kuwa u mwalimu, umetoka kwa Mungu; kwa maana hakuna mtu awezae kuzifanya ishara hizi uzifanyazo wewe, illa Mungu awe pamoja nae.


Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabbi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ngʼambu ya Yardani, uliyemshuhudia wewe, huyu nae anabatiza, na watu wote wanamwendea.


Bassi wakatoka mjini wakamwendea.


Akawaambia, Mimi nina chakula msichokijua ninyi.


Hatta walipomwona ngʼambu ya bahari, wakamwambia, Rabbi, umekuja lini hapa?


Wanafunzi wake wakamwuliza, wakinena, Rabbi, ni nani aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hatta akazaliwa kipofu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo