Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 4:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 akaacha Yahudi akaenda zake Galilaya marra ya pili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Basi, Yesu aliposikia hayo, alitoka Yudea akarudi Galilaya;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Basi, Yesu aliposikia hayo, alitoka Yudea akarudi Galilaya;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Basi, Yesu aliposikia hayo, alitoka Yudea akarudi Galilaya;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Bwana Isa alipojua mambo haya, aliondoka Yudea akarudi tena Galilaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Bwana Isa alipojua mambo haya, aliondoka Uyahudi akarudi tena Galilaya.

Tazama sura Nakili




Yohana 4:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Watakapowaudhi katika mji huu, kimbilieni mwingine: kwa maana ni kweli nawaambieni, Hamtaimaliza miji yote ya Israeli, hatta ajapo Mwana wa Adamu.


Yesu akajitenga, yeye na wanafunzi wake, akaenda baharini. Watu wengi sana wakamfuata toka Galilaya, na toka Yahudi, na toka Yerusalemi,


Ikawa walipokuwa njiani kwenda Yerusalemi, alikuwa akipita kati ya Samaria na Galilaya.


Siku ya pili yake Yesu akataka kuondoka kwenda Galilaya, akamwona Filipo, akamwambia, Nifuate.


Akaenda zake tena ngʼambu ya Yardani, hatta pahali ptile alipokuwa Yohana akihatiza hapo kwanza; akakaa huko. Watu wengi wakamwendea, wakanena,


Bassi Yesu hakutemhea tena kwa wazi kati ya Wayahudi, hali alitoka huko akaenda mahali karibu ya jangwa, hatta mji nitwao Efraim; akakaa huko pamoja na wanafunzi wake.


Mwanzo huu wa ishara Yesu alifanya Kana ya Galilaya, akauonyesha utukufu wake, wanafunzi wake wakamwamini.


Baada ya haya Yesu na wanafunzi wake walikwenda hatta inchi ya Kiyahudi; akashinda huko pamoja nao, akibatiza.


Aliyoyaona na kuyasikia ndiyo anayoshuhudia, wala hapana anaeukubali ushuhuda wake.


Huyu aliposikia ya kwamba Yesu amekuja kutoka Yahudi hatta Galilaya, akamwendea, akamsihi ashuke akamponye mwana wake; kwa maana alikuwa kufani.


NA baada ya haya Yesu akawa akitembea katika Galilaya: maana hakutaka kutembea katika Yahudi, kwa sababu Wayahudi walikuwa wakitafuta kumwua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo